Saturday, April 25, 2015

MINYOO (1)

MINYOO (1)

Ipo minyoo ya aina mbalimbali inayoweza kuwapata kuku. Minyoo huenea kupitia maji, chakula na kinyesi.

Dalili za kuku mwenye minyoo
  • Kutoa kinyesi chenye minyoo.
  • Kukosa hamu ya kula.
  • Hudumaa na kukonda (hudhoofika) mwili.
  • Wakati mwingine hukohoa.
Tiba na namna ya kudhibiti minyoo
  • Wapewe dawa haraka baada ya kugundulika kuwa na wanaminyoo, pia wapewe dawa za minyoo kila baada ya miezi mitatu.

No comments:

Post a Comment