Wapendwa wadau wetu wa ukurasa wetu wa changia mada napenda kuwasalimu wote na kuwakaribisha katika ukurasa wetu.
Katika ukurasa wetu wa changia mada tutakuwa tunawaletea mada kisha nyinyi mnachangia mawazo yenu, ambapo mada zingine zitakuwa na pande mbili lakini mwisho tunapata hitimisho sahihi.
Kitu cha kuzingatia ni kwamba mada zetu zote zina husiana na ufugaji.
Lengo la ukurasa wetu ni kubadilishana mawazo na kujua nani anafanya nini katika ufugaji. Lakini pia tunakusudia kuhamasishana katika suala zima la ufugaji kwani kuna baadhi yetu wamekata tamaa ya kufuga kwa sababu mbalimbali.
MADA No. 1
Mfumo uliopo wa soko la mifugo na mazao ya mifugo (nyama, mayai na maziwa) unampa motisha mfugaji?
Imetayarishwa na;
Dr. Lihundu A.A
Mobile:+255766 828344
No comments:
Post a Comment