Wednesday, October 14, 2015

MAFUNZO KWA VITENDO

SIFA ZA JOGOO NA TETEA BORA

1. SIFA ZA JOGOO BORA

  • Awe na umbo kubwa
  • Awe na ukiko nzuri usioangukia upande mmoja
  • Awe mchangamfu
  • Apende kuwa na himaya yake. Sifa hii utaigundua pindi ukimjazia wapinzani, atakuwa anapigana badala ya kufuata matetea.



2. SIFA ZA TETEA BORA

  • Awe na umbo kubwa
  • Awe na uwezo wa kuatamia
  • Awe na uwezo wa kulea vizuri (high mothering ability)
  • Aweze kutaga mayai ya kutosha.

No comments:

Post a Comment