Showing posts with label MAFUNZO KWA VITENDO. Show all posts
Showing posts with label MAFUNZO KWA VITENDO. Show all posts

Friday, August 1, 2014

KIPINDUPINDU CHA KUKU (FOWL CHOLERA)

KIPINDUPINDU CHA KUKU (FOWL CHOLERA)

 Ni ugonjwa unaosababishwa na bacteria ambao unaoshambulia karibu aina zote za ndege, ugonjwa huu ni hatari ambapo vifo ni kati ya 30% hadi 80%.

Njia za ueneaji ugonjwa

  • Utupaji ovyo wa mizoga ya kuku, kwani mzoga unaweza kukaa na vimelea kwa zaidi ya miezi mitatu.